Header Ads

ad

Breaking News

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Nchimbi awpokelewa kwa shangwe Bunda, aanza ziara ya siku tano Mara

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi wa Bunda, aliposimama kuwasalimia, akiwa njiani kuelekea Musoma, Jumanne, Aprili 22, 2025. Balozi Nchimbi leo ameanza ziara ya siku tano katika maeneo mbalimbali ya wilaya za Mkoa wa Mara.












No comments