WAZIRI NAPE AKAGUA MNARA WA VODACOM KIJIJI CHA KASHARA
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe Nape Moses Nnauye (Mb) amekagua maendeleo ya ujenzi wa mnara wa VODACOM uliopo katika Kijiji cha Kashara Kata ya Karambi wilayani Muleba, Julai 16, 2024 wakati wa ziara yake mkoani Kagera.
#leavenooneunconnected #KandayaZiwa #connect8M #SmartTanzania
No comments