Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba mkoani Dodoma leo Julai 25, 2024.
RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AKISHIRIKI SIKU YA MASHUJAA JIJINI DODOMA
Reviewed by Faharinews
on
2:12 PM
Rating: 5
No comments