Header Ads

ad

Breaking News

BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA MSUMBIJI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, ngazi ya taifa na Mkoa wa Dodoma, kumpokea Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha Msumbiji (FRELIMO), Komredi Daniel Francisco Chapo, ambaye pia ni mgombea urais mteule wa FRELIMO, kwenye Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo utakaofanyika mwaka huu mara baada ya kuwasili pamoja na ujumbe wake, katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma, leo Jumatano Juni 12, 2024.










No comments