TUNDUMA, SONGWE YATIKA ZIARA YA NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi wa Tunduma wilayani Mbozi mkoani Songwe leo Jumatatu Aprili 15,2024
Balozi Dkt. Nchimbi ameingia mkoani Songwe kwa ziara ya siku mbili, Aprili 15 na 16, 2024, akitokea mkoani Rukwa, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika mikoa sita ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Ruvuma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo
No comments