Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Salehe Mwinchete akimpima jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiograph – ECHO) mkazi wa Geita wakati wa maonesho ya sita ya kimataifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya EPZA Bombambili mkoani Geita. JKCI inatoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo, Sukari kwenye damu na shinikizo la damu katika maonesho hayo. |
No comments