Header Ads

ad

Breaking News

BENKI YA TPB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI NA MEZA SHULE YA SEKONDALI UCHILE SUMBAWANGA

 Mkurugugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya TPB, Sosthenes Nyenyembe, akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi viti na meza 50 iliyofanyika Shule ya Sekondari Uchile iliyopo Sumbawanga vijijini Mkoa wa Rukwa. Msaada huo umegharimu kiasi cha Shilingi milioni 3.7.
Mkurugnzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya TPB, Sosthenese Nyenyembe (kushoto) akimkabidhi moja kati ya meza na viti kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Uchile, Wilbroad Lucas (katikati) Sumbawanga Vijijini Mkoani Rukwa. Wa tatu kulia ni Mkurugenzi wa Sumbawanga vijijini, Nyingi Msemakweli. Benki ya TPB ilitoa msaada huo wenye thamani ya milioni 3.7 katika Shule ya Sekondari Uchile, baada ya kupata maombi ya msaada kutokana na uhaba wa madawati unaoikabili shule hiyo.

No comments