Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (kushoto),
akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati akitoa taarifa
ya kurejesha kiasi cha shilingi milioni 40.4 Serikalini (TRA), fedha alizopewa
kama msaada toka kwa James Rugemalira wa Kampuni ya VIP Engeneering and
Marketing Ltd. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari, Zamaradi
Kawawa.
|
No comments