Header Ads

ad

Breaking News

RAIS MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI NGURUKA-UVINZA KIGOMA AKIWA NJIANI KUELEKEA TABORA KWA ZIARA YA KISERIKALI

1 (1)
Rais John Magufuli mapema leo asubuhi Julai 23, 2017 akihutubia wananchi wa Kijiji cha Luchugi-Uvinza mkoani Kigoma akiwa njiani kuelekea mkoani Tabora kuanza ziara ya kiserikali mkoani humo.

1 (1)
Rais John Magufuli akisisitiza jambo akiwa kwenye mikutano yake mbalimbali ya njiani aliyosimma uili kuzungumza na wananchi wa vijiji vya mkoa wa Kigoma akielekea Mkoani Tabora kuanza ziara ya kiserikali mkoani humo, Julai 23,2017.
1 (2)
Rais John Magufuli akisisitiza jambo akiwa kwenye mikutano yake mbalimbali ya njiani aliyosimma uili kuzungumza na wananchi wa vijiji vya mkoa wa Kigoma akielekea mkoani Tabora kuanza ziara ya kiserikali mkoani humo, Julai 23,2017.
1 (4)
Rais John Magufuli akimsikiliza mwenyekiti wa kijijji cha Uvinza,  Nilisi Ntabai alipokuwa akieleza kero ya maji ya eneo hilo la Uvinza ikiwemo kusimama kwa kiwanda cha chumvi Uvinza ambacho kilikuwa tegemeo kwa wananchi wa eneo hilo, Rais amewaahidi wananchi hao kumtuma Waziri wa Viwanda na Biashara kushughulikia tatizo hilo. Julai 23,2017.
1 (5)
1 (6)
Rais John Magufuli akikagua tanki la kuhifadhia maji kutoka mto Maragharasi kabla ya kuweka jiwe la msingi la mradi huo utakaohudumia wananchi wa Nguruka Uvinza mkoani Kigoma. Kushoto kwa Rais  ni  Waziri wa Maji, Mhandisi Gerson Lwenge, leo.
1 (7)
Rais John Magufuli akiwa ameambatana na Waziri wa Maji Mhandisi Gerson Lwenge wakishuka ngazi mara baada ya Rais kukagua ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa Nguruka kabla ya kuhutubia wananchi leo Julai 23,2017.
1 (8)
Rais John Magufuli akipeana mkono na  Waziri wa Maji, Mhandisi Gerson Lwenge mara bada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji Nguruka, leo Julai 23,2017.
1 (9)
Rais John Magufuli akihutubia wananchi wa Nguruka Uvinza mkoani Kigoma, wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa Nguruka leo Julai 23,2017.
1 (10)
Rais John Magufuli akiwasalimia mamia ya  wananchi wa Nguruka Uvinza mkoani Kigoma baada ya kuhitimisha kuwahutubia wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi laujenzi wa tanki la kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa Nguruka, leo Julai 23,2017.
1 (11)
Rais John Magufuli akiwasalimia mamia ya wananchi wa Nguruka Uvinza mkoani Kigoma  baada ya kuhitimisha kuwahutubia wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa Nguruka, leo Julai 23,2017.

No comments