Mbunge
wa Kawe, Halima Mdee (Kushoto), akiwa chini ya ulinzi wa Askari katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, akisubiri kusomewa shitaka linalomkabili,
Halima anatuhumiwa kwa kutoa lugha za matusi kwa Rais John Magufuli wakati
akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni. |
No comments