Header Ads

ad

Breaking News

Zuma kuhudhuria droo ya AFCON




DURBAN, Afrika Kusini

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, atahudhuria upangaji wa ratiba wa michuano Mataifa ya Afrika, itakayofanyika Jumatano.

Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya michuano hiyo, Mwelo Nonkonyane, alisema Zuma, atakuwa mgeni wa heshima wa shughuli hiyo ya upangaji wa ratiba wa michuano hiyo.

No comments