Lucy Miss awa Miss Photogenic, atinga 16 Bora Miss Tanzania
![]() |
ucy Stephano |
Na Mwandishi Wetu, Monduli
Redds MISS Mbulu, Lucy
Stephanojuziusikualifanikiwakukatatiketiyakuingia 16 bora yaRedd’s Miss
Tanzania, baada ya kufanikiwa kutwaa taji la ReddsMiss Photogenic.
ShindanohilolilifanyikakatikaUkumbiwaEmanyata Lodge,
uliopo mjini hapa.
Lucy, alifanikiwa kuwashinda warembo wengine 30 wanaoshiriki ReddsMiss
Tanzania na kufanikiwa kutwaa taji hilo.
Mrembo huyo alifanikiwa kulitwaa taji hilo,
baada ya ushindani mkali uliokuwepo kati yake na Redds Miss Dar Indian Ocean, Diana
Hussein na ReddsMiss Ilala namba mbili, Magdalena Roy.
Kutokana na kufanikiwa kwak ekutwaa taji hilo, Lucy
amefanikiwa kuvuka hatua moja kubwa zaidi ya kuliwania taji la Redds Miss Tanzania
linalotarajiwa kufanyika Novemba 3, mwaka huu.
Mrembo mwingine anayetarajiwa kuingia hatua hiyo atapatikana Jumamosi katika
‘Usiku wa Redd’s Miss Tanzania’ mjini Arusha pale kutakapokuwa n akinyang’ayiro cha
Miss Top Model.
Shindano la Redd’s Miss Tanzania
kwasasa linadhaminiwa n akinywaji cha Redd’s Original kinachozalishwa na Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL).
No comments