Header Ads

ad

Breaking News

TENGA KUKUTANA NA WAANDISHI LEO SAA 6



Rais wa TFF, Leodegar Chilla Tenga

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga atakutana na waandishi wa habari leo (Septemba 27 mwaka huu) saa 6 kamili mchana. Mkutano huo utafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa TFF.

No comments