ST8MUZIK Freestyle 2012 ilivyotikisa Mwanza
Meneja
wa TCC Mkoani Mwanza Deogratius Kamugisha, akimkabidhi tuzo MC bora wa ST8MUZIK
Freestyle 2012 mkoani Mwanza, Joash Magadula, katika mchuano uliofanyika katika
ukumbi wa Stone mjini Mwanza, juzi.
Meneja
wa TCC tawi la Mwanza, Bw Deogratius Kamugisha (Katikati) akipozi na washindi
wa mpambano wa ma MCs na DJs STR8MUZIK Freetyle 2012 mkoani mwanza. Kutoka
kushoto ni Mshindi wa pili wa DJs Ruyobya Johannes a.k.a DJ Yt,Mshindi wa
kwanza kwa DJs Juma Ramadhani, msindi wa pili katika kategori ya MC, Nchana
Antony na Mshindi wa MC Joash Magadula ‘ MC Magadash’. (Picha zote na Executive
Solutions)
Umati
wa wana Mwanza ulivyojaa katika ukumbi Club Stone mjini humo, katika mpambano
wa STR8MUZIK 2012 FreeStyle Mwanza.
Mmoja
wa wasanii waliotoa burudani, akifanya mambo yake mbele ya umati wa mashabiki
wa burudani jijini Mwanza, wakati wa shindano la STR8MUZIK 2012 FreeStyle lililofanyika
katika ukumbi Club Stone mjini Mwanza, juzi.
No comments