Header Ads

ad

Breaking News

RAIS KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA MKURUGENZI MKUU WA KWANZA WA TAKUKURU, MEJA JENERALI (mstaafu) ANATOLI KAMAZIMA 2






Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Marehemu Meja jenerali Kamazima Tegeta, Dar es salaam, leo.




   Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akitoa  pole kwa mjane na ndugu wa wa Meja Jenerali Mstaafu  Anatoli Kamazima leo nyumbani kwa marehemu Tegeta, Dar es salaam. Marehemu Kamazima, ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia  leo Jumatano ya Tarehe 26 Septemba, 2012 utokana na mshtuko wa moyo, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU



Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Brigedia Jenerali Mstaafu Tindamanyire, ndugu wa hayati  Meja Jenerali Mstaafu  Anatoli Kamazima,  leo nyumbani kwa marehemu Tegeta, Dar es salaam.  Kulia kwa Rais ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Samwel Albert Ndomba. Marehemu Kamazima, ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia  leo Jumatano ya Tarehe 26 Septemba, 2012 utokana na mshtuko wa moyo, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU
 

No comments