Header Ads

ad

Breaking News

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiteta na wabunge Dodoma

WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Babati, Kisyeri Chambiri  kwenye jengo la utawala la Buge Mjini Dodoma, Julai 30,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (katikati) na Mbunge wa Kasulu  Mjini, Moses Machali  (kulia) kwenye viwanja vya  Bunge Mjini Dodoma Julai 30, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments