Swahili Multchoice ya futurisha wandishi wa habari
NA
MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya Maultchoice na wasambazaji wa DSTV nchini imewataka wadau mbalimbali kujiunga na mtandao huo kwa ajili ya kujipatia Michezo na burudani.
KAMPUNI ya Maultchoice na wasambazaji wa DSTV nchini imewataka wadau mbalimbali kujiunga na mtandao huo kwa ajili ya kujipatia Michezo na burudani.
Kauli
hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana, na Meneja Mahusiano Mkuu wa
Multchoice Tanzania, Babra Kambogi, wakati wa hafla fupi ya kufuturisha
waandishi wa habari za michezo iliyoandaliwa na kampuni hiyo.
Alisema
DSTV imekuwa ikiwaletea wadau wa michezo na burudani mambo mazuri kila kukicha
hivyo ni fursa nzuri kwa kila mtu kujipatia vifurushi mbalimbali vinavyolingana
na fedha zao.
Babra
alisema DSTV imezindua chaneli nane ambazo zitahusika moja kwa moja na
kuonyesha zawadi za michezo ya Olimpic iliyoanza juzi nchini Uingereza.
Vilevile
alisema walitenga chanel mbili maalumu za Kiswahili zilizokuwa zikitumika
kurusha matangazo ya mashindando ya Kombe la Kagame yaliyomalizi jana jijini
ambapo
watangazaji wake walikuwa Watanzani.
Babra
alisema huo ni muendelezo wa kampuni hiyo katika kuwafikishia wadau wake
michezo, burudani na tamthiria mbalimbali
popote walipo. www.fullshangwe.blospot.com
Baadhi ya Waandishi habari kutoka vyombo mbalimbali nchini waliohudhuria hafla hiyo wakijisevia Futari.
Mkurugenzi wa Jambo Concept Benny Kisaka.
Huku wengine wakiendelea kubadilishana mawazo.
Waandishi wa habari wakienjoy futari iliyoandaliwa na kampuni ya Multichoice Tanzania.
Katikati ni Ankal Issa Michuzi sambamba na Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto (kulia).
No comments