Header Ads

ad

Breaking News

SASA NI MWENDO WA 3.75G YENYE KASI YA AJABU...

AIRTEL WAIPIGA JEKI BIN ZUBEIRY…
Meneja Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia) akimkabidhi Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa BIN ZUBEIRY blog, Mahmoud Zubeiry modem ya Airtel, yenye kifurushi kikubwa cha intaneti yenye 3.75G, intaneti yenye kasi ya ajabu ya Airtel. Kuanzia sasa, gharama za intaneti za BIN ZUBEIRY Blog kwa vifurushi hivyo kwa muda wa miezi sita kwa kuanzia.

No comments