Header Ads

ad

Breaking News

Rais Kikwete akutana na Dkt.Asha Rose Migiro

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na  aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dkt.Asha Rose Migiro ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi(Picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika  mazungumzo na  aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dkt.Asha Rose Migiro ikulu jijini Dar es Salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akumuaga   aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Dkt.Asha Rose Migiro ikulu jijini Dar es Salaam leo

No comments