Meli ya seagul yazama Zanzibar
Kuna
habari za sasa hivi meli moja ya abiria ambayo inasadikiwa ilikuwa imebeba abria zaidi ya 280 ikitoka Dar es salaam kwenda Zanzibar
imezama eneo la Chumbe kabla haijafika Zanzibar,muda si mrefu, taarifa
zaidi zinasema vikosi vya uokoaji tayari viko katika eneo la tukio
vikifanya kazi ya kuokoa watu na mali hata hivyo haijafahamika kama
ajali hiyo imetokana na kitu gani lakini inadaiwa kuwa ilikuwa
imezidisha abiria
Hivi sasa watu ni wengi wakiwa bandarini kujionea hali ilivyo.
Kwa Habari za Kina tutazidi kuwajulisha baadae. Kwa mujibu wa blog ya www.fullshangwe.blospot.com
Kwa Habari za Kina tutazidi kuwajulisha baadae. Kwa mujibu wa blog ya www.fullshangwe.blospot.com
No comments